Breaking News

Halima Mdee Aachiwa Kwa Dhamana Baada ya Saa 24


Bunge huyo wa Kawe kupitia CHADEMA alikuwa akishikiliwa katika Kituo cha Polisi Oysterbay jijini Dar‬ tangu jana

Alikamatwa akidaiwa kutoa maneno ya uchochezi katika mkutano wa hadhara alioufanya maeneo ya Mikocheni jijini Dar Februari 21‬, 2019

Jana, Mdee kupitia ukurasa wake wa Twitter aliandika kuwa ameitwa kituoni hapo kwa mahojiano na baada ya mahojiano alikamatwa na kuwekwa mahabusu na kisha kunyimwa dhamana

No comments