Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli ameongoza Watanzania waliojitokeza kwenye viwanja vya Karimjee Dar es Salaam kuuaga mwili wa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group, Ruge Mutahaba.
Picha: Rais Magufuli aongoza waombolezaji kuuaga mwili wa Ruge Mutahaba
Reviewed by Alexander Victor
on
مارس 02, 2019
Rating: 5
ليست هناك تعليقات