Wizara ya Utalii Yajipanga Kimkakati Kumuenzi Baba Wa Taifa
Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa barabara TANROADS (aliesimama) Mhandisi Crispin Akoo akitoa taarifa ya Utekelezaji wa Mradi wa Jengo la 3 la abiria kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Prof.Adolph Mkenda alipotembelea Jengo hilo kuangalia namna ya kumuenzi Muasisi wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere.
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Prof. Adolph Mkenda (tatu toka kulia) akisikiliza maelezo juu ya Mradi yanayotelewa na Mhandisi kutoka Wakala wa Barabara(TANROADS)Bi, Rehema Myeya alipofanya ziara hiyo mwishoni mwa wiki iliyopita.
No comments