Shambulizi la bomu limetokea katika wilaya ya Al-Adevi kaskazini-mashariki mwa Damascus.
Shambulizi la bomu limetokea katika wilaya ya Al-Adevi kaskazini-mashariki mwa Damascus.
Kwa mujibu wa habari,shambulizi hilo limetokea karibu na ubalozi wa Urusi nchini humo.
Hakuna aliyeripotiwa kupoteza maisha wala kufariki katika shambulizi hilo la kigaidi.
Majengo kadhaa ya yameripotiwa kuangamizwa.
No comments