Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Gerson Msigwa amewataka Watanzania kupuuza taarifa ya kuwa Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Balozi wa Tanzania nchini Marekani.
Ikulu yakanusha taarifa hii
Reviewed by Alexander Victor
on
February 08, 2019
Rating: 5
No comments