Breaking News

Msafara wa pili wa Simba watua Dar


Msafara wa pili wa kikosi cha Simba uliojumuisha idadi kubwa ya wachezaji wa kikosi cha kwanza umewasili leo mchana katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere wakitokea nchini Misri


Baada ya kuwasili wachezaji hao watajiunga na wenzao waliowasili jana kuendelea na maandalizi ya mchezo wa ligi kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Mwadui Fc

Mchezo huo utapigwa keshokutwa Alhamisi, Feb 07 kwenye dimba la Taifa ukitarajiwa kuanza saa moja jioni

No comments