Julio apigwa chini Dodoma Fc
Julio aliiongoza na kukaribia kupanda ligi kuu msimu uliopita lakini akashindwa kwenye hatua ya mwisho kabisa na timu za Biashara United na Alliance zikapanda kwenye kundi hilo.
Msimu huu hali imekuwa mbaya zaidi kiasi cha kutishia timu hiyo kushuka daraja kutoka la kwanza mpaka la pili

No comments