Uwoya Afungukia Madai ya Kutoka Kayumba
Akizungumza na Showbiz Xtra, Uwoya alisema mash-abiki wake wawe wapole, kama wanataka kumjua shemeji yao wata-mjua lakini si Kayu-mba.
“Nina-chojua ni kwamba watu wengi wako ‘bize’ kujua mimi niko na nani hakuna mtu ambaye watamuacha kumtaja kwenye listi zao kuwa natoka naye kimapenzi hivyo siwasha-ngai na kingine siwezi kutoka na Kayumba wajue hilo,” alisema Kayumba.

No comments