Chris Brown amekamatwa na polisi nchini Ufaransa kwa ajili ya uchunguzi wa tuhuma za ubakaji.
Mwanamke mmoja amemburuza Chris Brown mahakamani akidai alimbaka mnamo January 15-16 mwaka huu walipokuwa nchini Ufaransa kwenye hoteli iitwayo Le Mandarin Oriental.
No comments