Breaking News

Maiti iliyokaa Mochwari kwa zaidi ya miezi nane hatimae yachukuliwa ili kuzikwa.

Image may contain: one or more people and people sitting

Hatimaye mwili wa kijana Frank Kipange uliokaa chumba cha kuhifadhia maiti kwa zaidi ya miezi nane umechukuliwa na ndugu kwa ajili ya mazishi leo Februari 26, 2019.

Mwili huo ulikuwa Hospitali ya Rufaa Mbeya baada ya familia kutaka uchunguzi wa kifo chake lakini baadaye mahakama iliamuru uzikwe.
 Image may contain: 4 people, people sitting and outdoor

 https://scontent.fdar6-1.fna.fbcdn.net/v/t1.0-9/52813275_2866777046670028_4161903213395574784_n.jpg?_nc_cat=1&_nc_eui2=AeG0Lf-j9MawdeGjrq6vADA2ZXn6EiaehMMAfSBKn2ci3F9qgqUlHIMnITgZS_Xl30GeaZSWlIgLSoYF4xAKAmGbuhdow9f4MU8STEM89qxbmGAbH9NzJiR6xnV9n4VG5lY&_nc_ht=scontent.fdar6-1.fna&oh=b66ded33516a03838a91eab7f982dafa&oe=5D274946

 Image may contain: 1 person, standing and outdoor




No comments