BUNGENI Spika Job Ndugai amesema iko haja ya kusimamisha mishahara na malipo yoyote ya Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu kuanzia sasa.Spika ametoa Ametoa kauli hiyo ajibu muongozo ulioombwa na Mbunge wa
Geita, Joseph Msukuma aliyetaka muongozo wa Spika kuhusu Tundu Lissu
kuonekana katika nchi mbalimbali duniani, lakini Bunge halina taarifa
kujua Lissu yuko wapi zaidi ya kumuona huko duniani akizurura.
Ndugai ampa tano Musukuma kuondoa mshahara wa Lissu
Reviewed by Alexander Victor
on
February 07, 2019
Rating: 5
No comments