Alichokisema Aussems baada ya kuifikisha Simba Robo Fainali CCL
Unajua kocha mkuu wa Simba amesema nini baada ya kuifikisha Simba Hatua hiyo?
Aussems Amefunguka haya.
“Kwa Simba, kwa Tanzania na hata kwa Afrika Mashariki hili ni jambo kubwa, sasa tutazungumza kuhusu soka kwa Afrika Mashariki na asante kwa Simba. Lengo ilikuwa kufika hatua ya makundi na nilisema hili kundi lipo wazi … na hatutaishia robo fainali tutafanya kila jambo ili kusonga mbele”-
Pata habari motomoto na za uhakika kila siku kila zinapojiri katika nyanja mbalimbali ikiwemo Siasa, Michezo, Ajira, uchumi, Mapenzi, Udaku/Umbea n.k .Kwa kudownload APP hii Bofya HAPA Kudownload.
BOFYA HAPA
No comments