Breaking News

Barcelona Yaiadhibu Valencia Na Kutinga Robo Fainali Ya Copa Del Rey



Barcelona wameitungua Levante 3-0 katika mechi ya pili ya 16 bora na kutinga hatua ya robo fainali ya kombe
la Copa Del Rey kwa jumla ya ushindi wa 4-2  baada ya mechi ya kwanza wiki iliyopita kufungwa 2-1 ugenini.

Ousmane Dembele kambani mara mbili na King Lionel Messi kambani moja.

Barcelona sasa anaungana na vilabu vya :

 Valencia
 Getafe
 Sevilla
 Betis
 Espanyol
 Girona
 Real Madrid

Katika hatua ya robo fainali , na droo ya robo fainali itafanyika leo Ijumaa.

No comments