Breaking News

Breaking: CAG Atii Wito Wa Spika, Atinga Bungeni

Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali Prof. Mussa Assad akiwa mbele ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kufuatia kauli za kudhalilisha Bunge alizozitoa akiwa nje ya nchi.
Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali ( CAG) Profesa Mussa Assad awasili katika Ofisi Bunge, jijini Dodoma kutii wito wa Spika Job Ndugai aliyemtaka kufikishwa mbele ya Kamati ya Maadili, Kinga, Haki na Madaraka ya Bunge kujibu tuhuma za kukidhalilisha chombo hicho.

No comments