Breaking News

Matokeo Na Msimamo Wa Ligi Kuu Bara leo.



Ligi Kuu Tanzania Bara imeendelea tena leo kwa michezo mbalimbali iliyopigwa kwenye viwanja tofauti.

Yafuatayo ndio matokeo ya mechi hizo:

FT' JkT Tanzania 3 -0 Mwadui FC
FT' Kagera Sugar 0-2 Tanzania Prison
FT' Ruvu Shooting 1 -0 Mbeya City
FT' Stand Utd 0-0 KMC


MSIMAMO:

Baada ya kupata ushindi kwenye mchezo wa leo, Tanzania Prisons imeondoka mkiani huku Ruvu Shooting na JKT Tanzania pia wakisogea.


No comments