Breaking News

Booco Aanza Mazoezi Simba

Image may contain: one or more people, people playing sports and outdoor
Nahodha na Mshambuliaji wa klabu ya Simba SC, John Bocco leo ameanza mazoezi na wachezaji wenzake baada ya kupona majeraha. Bocco aliumia kwenye mchezo wa kwanza wa kundi D dhidi ya JS Soaura ya Algeria.

No comments