Breaking News

Uturuki waonesha nia ya kushirikiana na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete kutoa huduma


Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo kutoka Hospitali ya Medicana , Bursa  ya  nchini Uturuki Prof. Serdar  Ener atembelea Taasisi ya Moyo  Jakaya Kikwete kwa ajili ya kuangalia huduma za matibabu ya moyo wanazozitoa, miundombinu na kuona namna wanavyoweza kufanya kazi pamoja


Uturuki waonesha nia ya kushirikiana na Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete kutoa huduma za matibabu ya moyo kwa watanzania



No comments