Yanga yaiendalea kuwawinda Stand United
klabu ya Yanga Sc imefanya mazoezi ya mwisho kuelekea mchezo wa ligi kuu Tanzania bara dhidi ya Stand United utakaofanyika katika uwanja wa Kambarage mkoani Shinyanga
.
.
.
Mchezo huo wa ligi kuu Tanzania bara utafanyika kesho majira ya saa 10 jioni katika dimba la Kambarage mjini Shinyanga
. . .
kuelekea mchezo huo hakuna mchezaji yeyote mwenye majeraha kwa wachezaji waliopo Shinyanga kwa mujibu wa Daktari wa timu ya Yanga Sc.
.
.
.
Mchezo huo wa ligi kuu Tanzania bara utafanyika kesho majira ya saa 10 jioni katika dimba la Kambarage mjini Shinyanga
. . .
kuelekea mchezo huo hakuna mchezaji yeyote mwenye majeraha kwa wachezaji waliopo Shinyanga kwa mujibu wa Daktari wa timu ya Yanga Sc.
No comments